0
   



Image result for MWAKYEMBE PICHA


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dokta HERRIISONI  MWAKYEMBE ametoa wito kwa  miliki wa vyombo vya mawasiliano  kutoa elimu kwa watumiaji kuhusu huduma wanayo tumia ili kusadia mtumiaji kuelewa huduma anayo hitaji.

Waziri MWAKYEMBE ameyasema hayo  leo jijini Dar es salaam wakati wa Uzinduzi wa kitabu cha mwongozo kwa watumiaji wa huduma na bidhaa za mawasiliano nchini amesema kuwa usimamizi wa kanuni za utangazji sio kuingilia uhuru wa vyombo vya habari ikiwa lengo kulinda kanuni za utangazji ili kuimalisha taaswila ya chombo cha habari au mtangazi husika..


Pia  Dokt MWAKYEMBE ametoa wito kwa waandishi wa habari kuzingatia  sheria za kisekta na maadili kanuni ya usimaizi na maadhui ya uandish wa habari ili kuhakikisha kwamba habari zinazo tolewa ziwe zimekidhi utamaduni wetu.
 amesema kuwa usimamizi wa kanuni za utangazji sio kuingilia uhuru wa vyombo vya habari ikiwa lengo kulinda kanuni za utangazji ili kuimalisha taaswila ya chombo cha habari au mtangazi husika.


Aidha  nae  Naibu waziri  wa Ujenzi, uchukuzi, na mawasiliano Eng. ATASHASTA NDIKIYE ameishukuru  mamlaka ya nawasiliano  Tanzania (TCRA) kwa jitihada wanazofanya  zakupunguza galama za watumiaji wa simu za mkononi hadi kufikia  shilingi 15.6 kwa dakika kupiga mitandao yote  ikiwa awali ilikua  shulingi 34.9 kwa kipindi cha nyuma. 

Post a Comment

 
Top