
Liverpool inajiandaa kwa jaribio la
pili kumsajili kiungo wa wakti wa Monaco mwenye umri wa miaka 22 Thomas
Lemar wa Ufaransa baada ya kukataa kandarasi mpya katika klabu hiyo ya
ligi ya daraja la kwanza.
Mkufunzi wa Manchester City Pep
Guardiola hatoanzisha tena harakati za kutaka kumsajili winga wa
Leicester raia wa Algeria mwenye umri wa miaka 26 Riyad Mahrez mwishoni
mwa msimu huu. (mirror)Mkufunzi wa zamani wa Barcelona Luis Enrique ambaye anahusishwa na kuchukua mahala pake Antonio Conte wa Chelsea anajiandaa kuelekea nchini Uingereza.
Post a Comment