0




















 Mwenyekiti Mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Abdallah Bulembo (kushoto) akikabidhi nyaraka zenye orodha ya mali za Jumuiya hiyo kwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo, Dk. Edmund Mndolwa, leo Januari 2, 2018, Makao Makuu ya Jumuiya jijini Dar es Salaam. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Zanzibar  Abdallah Haj Haidar.






Mwenyekiti mstaafu wa jumuiya ya wazazi  CCM Taifa Bw.ABDALLAH BULEMBO leo amemkabidhi ofisi mweyekiti mpya wa jumuiya hiyo DKT.EDMUND MNDOLWA  ambaye kwa sasa atashika nyazifa hiyo pia akisahidiwa na makamu wake Bw.HAIDAR HAJI ABDALLAH.

DKT.MDOLWA ambaye ndiye aliyekuwa mjumbe halmashauri kuu ya taifa CCM(MNEC),mwemyekiti wazazi mkoa wa Tanga , mjumbe kamati ya utekelezaji wazazi CCM Taifa na sasa ndiye mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi CCM Taifa.
Makabazianao hayo yamefanyika leo katika ofisi za makao makuu ya jumuiya hiyo zilizopo mtaa wa Swahili KARIAKOU Jijini DAR ES SALAAM na kuuziliwa na baadhi ya makatibu wakuu kutoka jumuiya hiyo taifa.

Hivyo basi baada ya makabiziano hayo mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo DKT.EDMUND MNDOLWA ametoa pongezi kwa mwenyekiti msaafu bw.BULEMBO nakusema kuwa alikua mtendaji kazi mzuli hivyo nae pia atafuata nyao zake ili kukifanya chama hicho kizidi kusonga mbele na kushinda uchaguzi wa mwaka kesho kutwa (2020)

Pia DKT.MNDOLWA amevieleza vyama vya upinzani kuwa chama cha mapinduzi kimejipanga hivyo wapinzani wajitaalishe kufungusha vilago katika majimbo walichukua kwani mwaka 2020 chama hicho kitayachukua majimbo hayo.
Aidha amesema kuwa jumuiya hiyo itaendelea kujitegemea yenyewe pasipo kuomba misaada kwani niya ya jumuiya hiyo nikukisahidia chama cha mapindunzi kusonga mbele na hata kwenda na kasi ya  uchumi wa kati.


Post a Comment

 
Top