0

  https://fullshangweblog.com/home/wp-content/uploads/2018/01/DSC_3576-768x551.jpg

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,leo amezungumza na mwenyekiti mpya   wa  Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dkt. Mndolwa Bernad Edmund alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumza na kujitambulisha baada ya kuchaguliwa kuchukua nafasi hiyo  kwa aliye kuwa mwenyekiti mstaafu  wa baraza Bw.ABDALLAH BULEMBO ambapo ataliongoza baraza hilo kwa miaka mitano.

Post a Comment

 
Top