Kampuni inayo
jishugulisha na uuzalishaji na usambazaji
wa mbolea hapa nchini YARA
LIMITED imahamu kuiunga mkono serikali katika kufanikisha zoezi la uchumi wa viwanda linatimia
kwaku toa punguzo la bei kwa mbolea wanazozalisha za YALA MILA OTESHA kwa lengo la
kuwasaidia wakulima kuzalisha mazoa yakayokuwa bora na yenyetija
kwa maendeleo yao na hata ya Taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini DAR ES SALAAM
afisa masoko wa kampuni hiyo Bi.LINDA
BYABA amesema kuwa kampuni hiyo imeamu kutoa punguzo la bei hiyo kutokana
asilimia ya wakulima wengi ni wale wenyekipato cha chini hivyo hali imekuwa ikwafanya kukosa mbole hiyo kwani
awali ilikuwa na kiwango kikubwa cha bei.
Hivyo basi kwakulitambua hilo wamehamu kuwapunguzi bei
wakulima kwa asilmia 50 kutoka katika bei ile ya awali ili kufanya mbole hiyo
iweze kununuliwa na wakulima ili iweze kuwasaidi kuvuna mazao mengi na yenye
ubora unotakiwa kwa kuliwa na hata katika mauzo pia.
Pia ameeleza kuwa mbole
hiyo inatumika katika kuotesha na kukuza
mazao mbali mbali ikwemo mpunga,Mahindi
na mbongamboga na imewasaidia wakulima
wengi ambao waliku wakiitumia mbolea hiyo kwani wamepata mazao mengi tofauti na
hapo awali walipokuwa wakkitumia mbolea nyingine tofauti na hiyo.
Hivyo basi ni vyema wananchi hao wakaendelea kuitumia mbolea
na wale wasio itumia ni vyema wakaanza sasa ili iweze kuwapatia mazao yakayo kuwa bora na ambayo yawasaidi
kuwaingizi kipato kikubwa pindi watakapo yaingiza sokoni
Post a Comment