Jaji kiongozi wa mahakama kuu ya Tanzania Mhe.FERDINAND
WAMBALI ameitaka kamati inayojishugulisha na utatuzi wa migogoro ya
wafanyakazi(Utatu Endelevu) kufanya kazi pasipo kumtegemea mtu kwani kufanya ivyo
itawasaidia wafanyakazikuodokana na changamoto zinazo wakabili.
Akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa kamati hiyo Jijini
DAR ES SALAAM amesema kumekuwa na
migogoro mingi kwa wafanyakazi na hiiimekuwa ikipelekea wawekezaji wandani na
hata wa nje kushindwa kushawishika kuwekeza katika makampuni na sekta
mbalimbali.
Hivyo ni vyema kamati hiyo ikaendelea kufanya kazi kwa bidii
pasipo kumtegemea mtu ili kuwasadia wafanyakazi kupata haki zao na hata
kuwashawishi wawekezaji wa ndani na wa
nje kujakuwekeza kwa wingi hapa nchini.
Aidha amelitaka shiriko la vyama vya wafanyakazi(tucta) kuendelea kufanya kazi zao kwa weledi ikiwemo
kutetea haki za wafanyakazi kwani wengi wao wamekuwa na migogoro inayowakabili
ikiwemo kukosa kazi na manyanya kutoka kwa waajili wao hivyo nivyme wakaendelea
kujadili nakukaa chini kuzitatua changamoto hizo.
Post a Comment