
Na.Martin Joseph
Wananchi na wadau wa sekta ya madini wametakiwa kuzingatia
utaratibu wa kuwa na vibali vya usafirishaji wa madini kwenda nje ya nchi.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Madini Mhe.DOTO BITEKO alipokuwa akitoa taarifa kwa vyombo vya habari Jijini
DRA ES SALAAM kuhusu mnada wa tatu wa mauzo ya Almasi za kampuni ya mgodi wa
Williamson Diamond Limited uliyoafanyika nchini Ubeligiji .
Amesema kuwa kutokana na matatizo yanyojitokeza hapa nchini
ya utohaji madini kiholela migodini pasipo kuwa na vibali ndio umepelekea
kujengwa kwa ukuta kwenye mgodi wa mererani wenye urefu wa kilomita24.5 ambapo
ujenzi huo utakamilika hivi punde.
Hivyo basi mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA)kwa
kushirikaiana na wataalam wa Wizara ya Madini imehamua kuanza zoezi la utohaji
wa vitambulisho vya uraia kwa wananchi wa maeneo husika ili kusaidia kuondokana
na tatizo hilo.
Aidha BITEKO ametoa wito kwa wananchi waliokua katika migodi
mbalimabli kutoa ushirikaino kwa wizara hiyo pindi itakapo kuwa inaendesha
zoazi hilo kwakuwataja wale wote ambao
watakua sio raia wa nchi hii ili wasiweze kupatiwa vitambulisho hivyo kwani
lengo la vitambulisho hivyo ni kuzui
wizi wa madini na usafirishaji kiholela wa madini hayo na kulifanya
Taifa kupata hasara kubwa na hata kudhalaulika.
Post a Comment