0
Image result for makamu wa raisi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu  Hassan leo  amefungua rasmi   Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Tanzania (SHIMMUTA) uliofanyika Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mjini Dodoma.
 
Mkutano huo uliouzuliwa na wajumbe mbalimbali wa shirikisho hilo unatalijiwa kufanyika siku mbili katika mkoa huo.

Post a Comment

 
Top